×

Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya 27:21 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:21) ayat 21 in Swahili

27:21 Surah An-Naml ayat 21 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 21 - النَّمل - Page - Juz 19

﴿لَأُعَذِّبَنَّهُۥ عَذَابٗا شَدِيدًا أَوۡ لَأَاْذۡبَحَنَّهُۥٓ أَوۡ لَيَأۡتِيَنِّي بِسُلۡطَٰنٖ مُّبِينٖ ﴾
[النَّمل: 21]

Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha

❮ Previous Next ❯

ترجمة: لأعذبنه عذابا شديدا أو لأذبحنه أو ليأتيني بسلطان مبين, باللغة السواحيلية

﴿لأعذبنه عذابا شديدا أو لأذبحنه أو ليأتيني بسلطان مبين﴾ [النَّمل: 21]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
alisema, «Nitamuadhibu hud-hud huyu adhabu kali kwa kumtia adabu ya kutokuweko kwake, au nitamtesa kwa kumchinja kwa kitendo alichokifanya kwa kuwa aliharibu nidhamu aliyowekewa aifuate, au ni lazima anijie na hoja iliyo wazi ya sababu ya kughibu kwake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek