×

Na hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye fadhila kwa watu, lakini wengi 27:73 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:73) ayat 73 in Swahili

27:73 Surah An-Naml ayat 73 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 73 - النَّمل - Page - Juz 20

﴿وَإِنَّ رَبَّكَ لَذُو فَضۡلٍ عَلَى ٱلنَّاسِ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَهُمۡ لَا يَشۡكُرُونَ ﴾
[النَّمل: 73]

Na hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye fadhila kwa watu, lakini wengi wao hawashukuru

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإن ربك لذو فضل على الناس ولكن أكثرهم لا يشكرون, باللغة السواحيلية

﴿وإن ربك لذو فضل على الناس ولكن أكثرهم لا يشكرون﴾ [النَّمل: 73]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na hakika ya Mola wako ni Mwenye nyongeza za wema kwa watu, kwa kuacha kuwaharakishia wao adhabu kwa kumuasi kwao Yeye na kumkanusha. Lakini wengi wao hawamshukuru kwa hilo wakamuamini na wakamtakasia ibada
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek