×

Na Siku litapo pulizwa baragumu, watahangaika waliomo mbinguni na katika ardhi, ila 27:87 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:87) ayat 87 in Swahili

27:87 Surah An-Naml ayat 87 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 87 - النَّمل - Page - Juz 20

﴿وَيَوۡمَ يُنفَخُ فِي ٱلصُّورِ فَفَزِعَ مَن فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَن فِي ٱلۡأَرۡضِ إِلَّا مَن شَآءَ ٱللَّهُۚ وَكُلٌّ أَتَوۡهُ دَٰخِرِينَ ﴾
[النَّمل: 87]

Na Siku litapo pulizwa baragumu, watahangaika waliomo mbinguni na katika ardhi, ila amtakaye Mwenyezi Mungu. Na wote watamfikia nao ni wanyonge

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ويوم ينفخ في الصور ففزع من في السموات ومن في الأرض إلا, باللغة السواحيلية

﴿ويوم ينفخ في الصور ففزع من في السموات ومن في الأرض إلا﴾ [النَّمل: 87]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kumbuka, ewe Mtume, siku ambayo Malaika atakapovuvia kwenye pembe, hapo wababaike walioko mbinguni na ardhini babaiko kubwa sana kwa kituko cha Mvuvio huo, isipokuwa yule aliyevuliwa na Mwenyezi Mungu kati ya wale Aliyowakirimu na Akawahifadhi na hilo babaiko. Na viumbe wote watamjia Mwenyezi Mungu wakiwa wanyonge watiifu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek