×

Je! Hawaoni kwamba sisi tumeufanya usiku ili watulie, na mchana wa kuangaza. 27:86 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:86) ayat 86 in Swahili

27:86 Surah An-Naml ayat 86 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 86 - النَّمل - Page - Juz 20

﴿أَلَمۡ يَرَوۡاْ أَنَّا جَعَلۡنَا ٱلَّيۡلَ لِيَسۡكُنُواْ فِيهِ وَٱلنَّهَارَ مُبۡصِرًاۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَٰتٖ لِّقَوۡمٖ يُؤۡمِنُونَ ﴾
[النَّمل: 86]

Je! Hawaoni kwamba sisi tumeufanya usiku ili watulie, na mchana wa kuangaza. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao amini

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ألم يروا أنا جعلنا الليل ليسكنوا فيه والنهار مبصرا إن في ذلك, باللغة السواحيلية

﴿ألم يروا أنا جعلنا الليل ليسكنوا فيه والنهار مبصرا إن في ذلك﴾ [النَّمل: 86]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Je, hawakuona hawa wakanushaji wa aya zetu kwamba sisi tumeufanya usiku ni kipindi cha wao kutulia ndani yake na kulala, na mchana ni kipindi cha wao kuona ili waende kutafuta maisha yao? Hakika katika kuvipelekesha hivyo viwili kuna ushahidi kwa watu wanaoamini ukamilifu wa uweza wa Mwenyezi Mungu, upweke Wake na ukubwa wa neema Zake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek