×

Watakao kuja na mema, watapata bora kuliko hayo. Nao watasalimika na mahangaiko 27:89 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:89) ayat 89 in Swahili

27:89 Surah An-Naml ayat 89 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 89 - النَّمل - Page - Juz 20

﴿مَن جَآءَ بِٱلۡحَسَنَةِ فَلَهُۥ خَيۡرٞ مِّنۡهَا وَهُم مِّن فَزَعٖ يَوۡمَئِذٍ ءَامِنُونَ ﴾
[النَّمل: 89]

Watakao kuja na mema, watapata bora kuliko hayo. Nao watasalimika na mahangaiko ya Siku hiyo

❮ Previous Next ❯

ترجمة: من جاء بالحسنة فله خير منها وهم من فزع يومئذ آمنون, باللغة السواحيلية

﴿من جاء بالحسنة فله خير منها وهم من فزع يومئذ آمنون﴾ [النَّمل: 89]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mwenye kuja na upwekeshaji wa Mwenyezi Mungu na kumuamini na kumuabudu Peke Yake na matendo mema Siku ya Kiyama, basi Atakuwa na malipo mema makubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu, yatakaokuwa mema na bora zaidi, nayo ni Pepo. Na wao, Siku ya babaiko kubwa, watakuwa kwenye amani
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek