×

Wapate kuyakanya tuliyo wapa, na wajistareheshe. Lakini watakuja jua 29:66 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-‘Ankabut ⮕ (29:66) ayat 66 in Swahili

29:66 Surah Al-‘Ankabut ayat 66 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-‘Ankabut ayat 66 - العَنكبُوت - Page - Juz 21

﴿لِيَكۡفُرُواْ بِمَآ ءَاتَيۡنَٰهُمۡ وَلِيَتَمَتَّعُواْۚ فَسَوۡفَ يَعۡلَمُونَ ﴾
[العَنكبُوت: 66]

Wapate kuyakanya tuliyo wapa, na wajistareheshe. Lakini watakuja jua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ليكفروا بما آتيناهم وليتمتعوا فسوف يعلمون, باللغة السواحيلية

﴿ليكفروا بما آتيناهم وليتمتعوا فسوف يعلمون﴾ [العَنكبُوت: 66]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kushirikisha kwao baada ya sisi kuwaneemesha kwa kuwaokoa na bahari, ni ili iwe mwisho wake ni kuzikanusha zile tulizowaneemesha katika nafsi zao na mali zao na ili wakamilishe kujistarehesha kwao katika hii dunia. Basi wataujua uharibikaji wa matendo yao na kile Alichowaandalia wao Mwenyezi Mungu cha adhabu kali Siku ya Kiyama. Na katika hilo pana onyo na tahadharisho kwao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek