×

Bali walio dhulumu wamefuata mapendo ya nafsi zao pasina kujua. Basi nani 30:29 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ar-Rum ⮕ (30:29) ayat 29 in Swahili

30:29 Surah Ar-Rum ayat 29 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ar-Rum ayat 29 - الرُّوم - Page - Juz 21

﴿بَلِ ٱتَّبَعَ ٱلَّذِينَ ظَلَمُوٓاْ أَهۡوَآءَهُم بِغَيۡرِ عِلۡمٖۖ فَمَن يَهۡدِي مَنۡ أَضَلَّ ٱللَّهُۖ وَمَا لَهُم مِّن نَّٰصِرِينَ ﴾
[الرُّوم: 29]

Bali walio dhulumu wamefuata mapendo ya nafsi zao pasina kujua. Basi nani atamwongoa ambaye Mwenyezi Mungu amemuacha apotee? Wala hao hawatakuwa na wa kuwanusuru

❮ Previous Next ❯

ترجمة: بل اتبع الذين ظلموا أهواءهم بغير علم فمن يهدي من أضل الله, باللغة السواحيلية

﴿بل اتبع الذين ظلموا أهواءهم بغير علم فمن يهدي من أضل الله﴾ [الرُّوم: 29]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Bali washirikina walifuata matamanio yao kwa kuwaiga wazazi wao bila ujuzi wowote, wakashirikiana nao katika ujinga na upotevu. Na hakuna yoyote anayeweza kumuongoza yule ambaye Mwenyezi Mungu Amempoteza kwa sababu ya kuendelea kwake kwenye ukafiri na ukaidi. Na hawa hawana wasaidizi wa kuwaokoa na adhabu ya Mwenyezi Mungu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek