×

Katika wale ambao kwamba wameigawanya dini yao, na wakawa makundi makundi, kila 30:32 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ar-Rum ⮕ (30:32) ayat 32 in Swahili

30:32 Surah Ar-Rum ayat 32 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ar-Rum ayat 32 - الرُّوم - Page - Juz 21

﴿مِنَ ٱلَّذِينَ فَرَّقُواْ دِينَهُمۡ وَكَانُواْ شِيَعٗاۖ كُلُّ حِزۡبِۭ بِمَا لَدَيۡهِمۡ فَرِحُونَ ﴾
[الرُّوم: 32]

Katika wale ambao kwamba wameigawanya dini yao, na wakawa makundi makundi, kila kikundi kinafurahia kilicho nacho

❮ Previous Next ❯

ترجمة: من الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا كل حزب بما لديهم فرحون, باللغة السواحيلية

﴿من الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا كل حزب بما لديهم فرحون﴾ [الرُّوم: 32]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na msiwe ni miongoni mwa washirikina na watu wa (kufuata) matamanio na mambo ya uzushi, walioibadilisha dini yao na wakaigeuza kwa kuchukuwa baadhi yake na kuacha baadhi yake kwa kufuata matamanio yao, wakawa ni makundi na mapote, wanafuata mikao ya viongozi wao na vyama vyao na maoni yao, wanasaidiana wao kwa wao katika batili, kila watu wa kundi wanashangilia na kufurahia mkao wao, wanajihukumia wenyewe kuwa wao wako kwenye haki na wasiokuwa wao wako kwenye ubatilifu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek