×

Ufisadi umedhihiri bara na baharini kwa iliyo yafanya mikono ya watu, ili 30:41 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ar-Rum ⮕ (30:41) ayat 41 in Swahili

30:41 Surah Ar-Rum ayat 41 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ar-Rum ayat 41 - الرُّوم - Page - Juz 21

﴿ظَهَرَ ٱلۡفَسَادُ فِي ٱلۡبَرِّ وَٱلۡبَحۡرِ بِمَا كَسَبَتۡ أَيۡدِي ٱلنَّاسِ لِيُذِيقَهُم بَعۡضَ ٱلَّذِي عَمِلُواْ لَعَلَّهُمۡ يَرۡجِعُونَ ﴾
[الرُّوم: 41]

Ufisadi umedhihiri bara na baharini kwa iliyo yafanya mikono ya watu, ili Mwenyezi Mungu awaonyeshe baadhi ya waliyo yatenda. Huenda wakarejea kwa kutubu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ظهر الفساد في البر والبحر بما كسبت أيدي الناس ليذيقهم بعض الذي, باللغة السواحيلية

﴿ظهر الفساد في البر والبحر بما كسبت أيدي الناس ليذيقهم بعض الذي﴾ [الرُّوم: 41]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Uharibifuumejitokezabaranina baharini, kama vile ukame, uchache wa mvua, wingi wa magonjwa na majanga, kwa sababu ya maasia yanayofanywa na binadamu, hivyo basi Awapatie adhabu kwa baadhi ya matendo waliyoyatenda ulimwenguni wapate kutubia kwa Mwenyezi Mungu, kutakasika na sifa na upungufu ni Kwake, na warudi nyuma waache maasia na matendo yao yatengenezeke na mambo yao yalingane sawa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek