×

Na mwitaji kumwendea Mwenyezi Mungu kwa idhini yake, na taa yenye kutoa 33:46 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ahzab ⮕ (33:46) ayat 46 in Swahili

33:46 Surah Al-Ahzab ayat 46 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ahzab ayat 46 - الأحزَاب - Page - Juz 22

﴿وَدَاعِيًا إِلَى ٱللَّهِ بِإِذۡنِهِۦ وَسِرَاجٗا مُّنِيرٗا ﴾
[الأحزَاب: 46]

Na mwitaji kumwendea Mwenyezi Mungu kwa idhini yake, na taa yenye kutoa nuru

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وداعيا إلى الله بإذنه وسراجا منيرا, باللغة السواحيلية

﴿وداعيا إلى الله بإذنه وسراجا منيرا﴾ [الأحزَاب: 46]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na uwe ni mlinganizi kwenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu na kumuabudu Yeye Peke Yake, na uwe ni taa yenye kung’ara kwa anayetaka kupata mwangaza kwako. Kwani jambo lako la haki ambalo umekuja nalo liko wazi kama vile jua katika kuchomoza na kutoa mwangaza, hakuna mwenye kulikanusha isipokuwa mshindani
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek