×

Na walio pewa ilimu wanaona ya kuwa ulio teremshiwa kutoka kwa Mola 34:6 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Saba’ ⮕ (34:6) ayat 6 in Swahili

34:6 Surah Saba’ ayat 6 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Saba’ ayat 6 - سَبإ - Page - Juz 22

﴿وَيَرَى ٱلَّذِينَ أُوتُواْ ٱلۡعِلۡمَ ٱلَّذِيٓ أُنزِلَ إِلَيۡكَ مِن رَّبِّكَ هُوَ ٱلۡحَقَّ وَيَهۡدِيٓ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡعَزِيزِ ٱلۡحَمِيدِ ﴾
[سَبإ: 6]

Na walio pewa ilimu wanaona ya kuwa ulio teremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni haki, nayo huongoa kwendea njia ya Mwenye nguvu, Mwenye kusifiwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ويرى الذين أوتوا العلم الذي أنـزل إليك من ربك هو الحق ويهدي, باللغة السواحيلية

﴿ويرى الذين أوتوا العلم الذي أنـزل إليك من ربك هو الحق ويهدي﴾ [سَبإ: 6]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wale waliopatiwa elimu wanajua kwamba Qur’ani uliyoteremshiwa kutoka kwa Mola wako ndiyo haki na kwamba inaongoza kwenye njia ya Mwenyezi Mungu, Aliye Mshindi Asiyeshindwa wala kuzuiliwa, bali Amekitendesha nguvu kila kitu na Amekishinda, Ndiye Mwenye kusifiwa katika maneno Yake, matendo Yake na Sheria Zake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek