×

Jinsi Mola wangu Mlezi alivyo nisamehe, na akanifanya miongoni mwa walio hishimiwa 36:27 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ya-Sin ⮕ (36:27) ayat 27 in Swahili

36:27 Surah Ya-Sin ayat 27 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ya-Sin ayat 27 - يسٓ - Page - Juz 23

﴿بِمَا غَفَرَ لِي رَبِّي وَجَعَلَنِي مِنَ ٱلۡمُكۡرَمِينَ ﴾
[يسٓ: 27]

Jinsi Mola wangu Mlezi alivyo nisamehe, na akanifanya miongoni mwa walio hishimiwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: بما غفر لي ربي وجعلني من المكرمين, باللغة السواحيلية

﴿بما غفر لي ربي وجعلني من المكرمين﴾ [يسٓ: 27]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Akasema na yeye akiwa kwenye starehe na heshima, «Natamani watu wangu wangalijua vile Mola wangu Alivyonisamehe na kunikirimu kwa sababu ya kumuamini kwangu Mwenyezi Mungu na kusubiri kwangu juu ya kumtii Yeye na kuwafuata Mitume Wake mpaka nikauawa, ili nao wamuamini Mwenyezi Mungu na waingie Peponi kama mimi.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek