×

Na hatukuwateremshia kaumu yake baada yake jeshi kutoka mbinguni, wala si wenye 36:28 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ya-Sin ⮕ (36:28) ayat 28 in Swahili

36:28 Surah Ya-Sin ayat 28 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ya-Sin ayat 28 - يسٓ - Page - Juz 23

﴿۞ وَمَآ أَنزَلۡنَا عَلَىٰ قَوۡمِهِۦ مِنۢ بَعۡدِهِۦ مِن جُندٖ مِّنَ ٱلسَّمَآءِ وَمَا كُنَّا مُنزِلِينَ ﴾
[يسٓ: 28]

Na hatukuwateremshia kaumu yake baada yake jeshi kutoka mbinguni, wala si wenye kuteremsha

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وما أنـزلنا على قومه من بعده من جند من السماء وما كنا, باللغة السواحيلية

﴿وما أنـزلنا على قومه من بعده من جند من السماء وما كنا﴾ [يسٓ: 28]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na jambo hilo halikuhitajia kuteremsha askari kutoka mbinguni ili kuwaadhibu wao baada ya wao kumuua yule mwanamume anayewapa ushauri mwema na kuwakanusha wajumbe wao, kwani wao ni wanyonge na watwevu zaidi kuliko kuwa ni wenye kufanyiwa hilo na hatukuwa ni wenye kuwateremsha Malaika tukitaka kuwaangamiza, bali tunawateremshia adhabu ya kuwavunjavunja
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek