×

Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume 37:37 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah As-saffat ⮕ (37:37) ayat 37 in Swahili

37:37 Surah As-saffat ayat 37 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah As-saffat ayat 37 - الصَّافَات - Page - Juz 23

﴿بَلۡ جَآءَ بِٱلۡحَقِّ وَصَدَّقَ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ﴾
[الصَّافَات: 37]

Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume

❮ Previous Next ❯

ترجمة: بل جاء بالحق وصدق المرسلين, باللغة السواحيلية

﴿بل جاء بالحق وصدق المرسلين﴾ [الصَّافَات: 37]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Wamesema urongo! Muhammad sivyo vile walivyomueleza. Bali amekuja na Qur’ani na upwekeshaji Mwenyezi Mungu, na akathibitisha ukweli wa Mitume katika kile walichokitolea habari kuhusu sheria ya Mwenyezi Mungu na kumpwekesha Yeye
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek