×

Na bila ya shaka mtajua khabari zake baada ya muda 38:88 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah sad ⮕ (38:88) ayat 88 in Swahili

38:88 Surah sad ayat 88 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 88 - صٓ - Page - Juz 23

﴿وَلَتَعۡلَمُنَّ نَبَأَهُۥ بَعۡدَ حِينِۭ ﴾
[صٓ: 88]

Na bila ya shaka mtajua khabari zake baada ya muda

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولتعلمن نبأه بعد حين, باللغة السواحيلية

﴿ولتعلمن نبأه بعد حين﴾ [صٓ: 88]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na mtajua, tena mtajua, enyi washirikina, habari ya hii Qur’ani na ukweli wake, pindi utakaposhinda Uislamu na watu kuingia kwenye dini ya Mwenyezi Mungu mapote kwa mapote, na pia pindi mtakaposhukiwa na adhabu na kamba zote kuwakatikia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek