×

Mitume hao ni wabashiri na waonyaji, ili watu wasiwe na hoja juu 4:165 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nisa’ ⮕ (4:165) ayat 165 in Swahili

4:165 Surah An-Nisa’ ayat 165 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nisa’ ayat 165 - النِّسَاء - Page - Juz 6

﴿رُّسُلٗا مُّبَشِّرِينَ وَمُنذِرِينَ لِئَلَّا يَكُونَ لِلنَّاسِ عَلَى ٱللَّهِ حُجَّةُۢ بَعۡدَ ٱلرُّسُلِۚ وَكَانَ ٱللَّهُ عَزِيزًا حَكِيمٗا ﴾
[النِّسَاء: 165]

Mitume hao ni wabashiri na waonyaji, ili watu wasiwe na hoja juu ya Mwenyezi Mungu baada ya kuletewa Mitume. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima

❮ Previous Next ❯

ترجمة: رسلا مبشرين ومنذرين لئلا يكون للناس على الله حجة بعد الرسل وكان, باللغة السواحيلية

﴿رسلا مبشرين ومنذرين لئلا يكون للناس على الله حجة بعد الرسل وكان﴾ [النِّسَاء: 165]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Nimweatuma wajumbe kwa viumbe wangu wakatoe habari njema ya malipo yangu mema na waonye juu ya adhabu yangu, ili wanadamu wasiwe na hoja watakayoifanya ni kisingizio cha udhuru baada ya kutumiliza Mitume. Na daima Mwenyezi Mungu ni Mshindi katika mamlaka Yake, ni Mwingi wa hekima katika uendeshaji mambo Wake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek