×

Na bila ya shaka Sisi tumeziumba mbingu na ardhi na vilio baina 50:38 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Qaf ⮕ (50:38) ayat 38 in Swahili

50:38 Surah Qaf ayat 38 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Qaf ayat 38 - قٓ - Page - Juz 26

﴿وَلَقَدۡ خَلَقۡنَا ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ وَمَا بَيۡنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ وَمَا مَسَّنَا مِن لُّغُوبٖ ﴾
[قٓ: 38]

Na bila ya shaka Sisi tumeziumba mbingu na ardhi na vilio baina yao mnamo siku sita; na wala hayakutugusa machofu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولقد خلقنا السموات والأرض وما بينهما في ستة أيام وما مسنا من, باللغة السواحيلية

﴿ولقد خلقنا السموات والأرض وما بينهما في ستة أيام وما مسنا من﴾ [قٓ: 38]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kwa hakika tuliumba mbingu na ardhi na vilivyoko baina ya hivyo viwili miongoni mwa viumbe kwa muda wa Siku sita, na hatukupata tabu yoyote wala shida. Katika uweza huu mkubwa kuna dalili ya nguvu zaidi ya kuwa Yeye, Aliyetakasika, Ana uweza wa kuhuisha wafu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek