×

Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa 51:9 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Adh-Dhariyat ⮕ (51:9) ayat 9 in Swahili

51:9 Surah Adh-Dhariyat ayat 9 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Adh-Dhariyat ayat 9 - الذَّاريَات - Page - Juz 26

﴿يُؤۡفَكُ عَنۡهُ مَنۡ أُفِكَ ﴾
[الذَّاريَات: 9]

Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: يؤفك عنه من أفك, باللغة السواحيلية

﴿يؤفك عنه من أفك﴾ [الذَّاريَات: 9]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Anaepushwa na Qur’ani na Mtume yule aliyeepushwa na lile la kuviamini hivyo viwili kwa kuzipa mgongo dalili za Mwenyezi Mungu na hoja Zake za yakini, na kwa hivyo haafikiwi kwenye kheri
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek