×

Ni kama mfano wa walio kuwa kabla yao hivi karibuni. Walionja uovu 59:15 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hashr ⮕ (59:15) ayat 15 in Swahili

59:15 Surah Al-hashr ayat 15 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hashr ayat 15 - الحَشر - Page - Juz 28

﴿كَمَثَلِ ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِمۡ قَرِيبٗاۖ ذَاقُواْ وَبَالَ أَمۡرِهِمۡ وَلَهُمۡ عَذَابٌ أَلِيمٞ ﴾
[الحَشر: 15]

Ni kama mfano wa walio kuwa kabla yao hivi karibuni. Walionja uovu wa mambo yao. Nao watapata adhabu iliyo chungu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: كمثل الذين من قبلهم قريبا ذاقوا وبال أمرهم ولهم عذاب أليم, باللغة السواحيلية

﴿كمثل الذين من قبلهم قريبا ذاقوا وبال أمرهم ولهم عذاب أليم﴾ [الحَشر: 15]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mfano wa hawa Mayahudi kwa mateso yaliyowashukia ni kama mfano wa makafiri wa Kikureshi siku ya Badr na Mayahudi wa Banū Qaynuqā'kwa kuwa walionja mwisho mbaya wa ukafiri wao na uadui wao kwa Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, duniani, na huko Akhera watapata adhabu kali yenye uchungu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek