×

Na katika kaumu ya Musa lipo kundi linao waongoa watu kwa haki 7:159 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:159) ayat 159 in Swahili

7:159 Surah Al-A‘raf ayat 159 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 159 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَمِن قَوۡمِ مُوسَىٰٓ أُمَّةٞ يَهۡدُونَ بِٱلۡحَقِّ وَبِهِۦ يَعۡدِلُونَ ﴾
[الأعرَاف: 159]

Na katika kaumu ya Musa lipo kundi linao waongoa watu kwa haki na kwa haki wanafanya uadilifu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومن قوم موسى أمة يهدون بالحق وبه يعدلون, باللغة السواحيلية

﴿ومن قوم موسى أمة يهدون بالحق وبه يعدلون﴾ [الأعرَاف: 159]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na miongoni mwa Wana wa Isrāīl wanaotokana na jamaa za Mūsā kuna kundi la watu ambao wanasimama imara juu ya haki, wanawaongoza watu kwenye hiyo haki na wanafanya usawa katika kutoa uamuzi katika mambo yao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek