×

Walipo jifakharisha katika waliyo kanywa tuliwaambia: Kuweni manyani wa kudharauliwa 7:166 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:166) ayat 166 in Swahili

7:166 Surah Al-A‘raf ayat 166 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 166 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿فَلَمَّا عَتَوۡاْ عَن مَّا نُهُواْ عَنۡهُ قُلۡنَا لَهُمۡ كُونُواْ قِرَدَةً خَٰسِـِٔينَ ﴾
[الأعرَاف: 166]

Walipo jifakharisha katika waliyo kanywa tuliwaambia: Kuweni manyani wa kudharauliwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فلما عتوا عن ما نهوا عنه قلنا لهم كونوا قردة خاسئين, باللغة السواحيلية

﴿فلما عتوا عن ما نهوا عنه قلنا لهم كونوا قردة خاسئين﴾ [الأعرَاف: 166]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi pote hilo lilipoasi na likayakiuka yale ambayo Mwenyezi Mungu Alioyakataza ya kutowinda siku ya siku ya Jumamosi, Mwenyezi Mungu Aliwaambia (watu wa pote hilo), «Kuweni manyani hali ni wanyoge ni wenye kuwekwa mbali na kila jema.» Na wakawa hivyo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek