×

Na katika tulio waumba wako watu wanao ongoza kwa Haki, na kwayo 7:181 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:181) ayat 181 in Swahili

7:181 Surah Al-A‘raf ayat 181 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 181 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَمِمَّنۡ خَلَقۡنَآ أُمَّةٞ يَهۡدُونَ بِٱلۡحَقِّ وَبِهِۦ يَعۡدِلُونَ ﴾
[الأعرَاف: 181]

Na katika tulio waumba wako watu wanao ongoza kwa Haki, na kwayo wanafanya uadilifu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وممن خلقنا أمة يهدون بالحق وبه يعدلون, باللغة السواحيلية

﴿وممن خلقنا أمة يهدون بالحق وبه يعدلون﴾ [الأعرَاف: 181]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na miongoni mwa wale tuliowaumba kuna kundi la watu bora wanaoongoka kwenye haki na wanaita watu waifuate, na kwa hiyo wanahukumu na wanafanyia watu uadilifu; na wao ni viongozi wa uongofu, kati ya wale ambao Mwenyezi Mungu Amewaneemesha kwa Imani na kufanya amali njema
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek