×

Na wale walio kadhibisha Ishara zetu, tutawapururia pole pole kwa namna ambayo 7:182 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:182) ayat 182 in Swahili

7:182 Surah Al-A‘raf ayat 182 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 182 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَٱلَّذِينَ كَذَّبُواْ بِـَٔايَٰتِنَا سَنَسۡتَدۡرِجُهُم مِّنۡ حَيۡثُ لَا يَعۡلَمُونَ ﴾
[الأعرَاف: 182]

Na wale walio kadhibisha Ishara zetu, tutawapururia pole pole kwa namna ambayo wenyewe hawaijui

❮ Previous Next ❯

ترجمة: والذين كذبوا بآياتنا سنستدرجهم من حيث لا يعلمون, باللغة السواحيلية

﴿والذين كذبوا بآياتنا سنستدرجهم من حيث لا يعلمون﴾ [الأعرَاف: 182]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wale ambao walizikanusha aya zetu wakazikataa na wasiwaidhike nazo, tutawafungulia milango ya riziki na njia za maisha katika ulimwengu, kwa kuwavuta kidogo kidogo mpaka wahadaike kwa yale ambayo wako nayo na waitakidi kuwa wao wako kwenye kitu cha maana, kisha tutawatesa kwa ghafla kwa namna wasioijua. Haya ni mateso yatokao kwa Mwenyezi Mungu ya kukanusha hoja za Mwenyezi Mungu na aya Zake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek