×

Na tulimtuma Lut', alipo waambia watu wake: Je, mnafanya uchafu ambao hajakutangulieni 7:80 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:80) ayat 80 in Swahili

7:80 Surah Al-A‘raf ayat 80 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 80 - الأعرَاف - Page - Juz 8

﴿وَلُوطًا إِذۡ قَالَ لِقَوۡمِهِۦٓ أَتَأۡتُونَ ٱلۡفَٰحِشَةَ مَا سَبَقَكُم بِهَا مِنۡ أَحَدٖ مِّنَ ٱلۡعَٰلَمِينَ ﴾
[الأعرَاف: 80]

Na tulimtuma Lut', alipo waambia watu wake: Je, mnafanya uchafu ambao hajakutangulieni yeyote kwa uchafu huo katika viumbe vyote

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولوطا إذ قال لقومه أتأتون الفاحشة ما سبقكم بها من أحد من, باللغة السواحيلية

﴿ولوطا إذ قال لقومه أتأتون الفاحشة ما سبقكم بها من أحد من﴾ [الأعرَاف: 80]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na mkumbuke, ewe Mtume, Lūṭ, amani imshukie, pindi aliposema kuwaambia watu wake, «Je, mnafanya kitendo kibaya kilichofikia upeo wa ubaya? Hakuna yoyote, miongoni mwa viumbe, aliyefanya kitendo hiko kabla yenu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek