×

Je, watu wa mijini wameaminisha ya kuwa adhabu yetu haitawafika usiku, nao 7:97 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:97) ayat 97 in Swahili

7:97 Surah Al-A‘raf ayat 97 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 97 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿أَفَأَمِنَ أَهۡلُ ٱلۡقُرَىٰٓ أَن يَأۡتِيَهُم بَأۡسُنَا بَيَٰتٗا وَهُمۡ نَآئِمُونَ ﴾
[الأعرَاف: 97]

Je, watu wa mijini wameaminisha ya kuwa adhabu yetu haitawafika usiku, nao wamelala

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أفأمن أهل القرى أن يأتيهم بأسنا بياتا وهم نائمون, باللغة السواحيلية

﴿أفأمن أهل القرى أن يأتيهم بأسنا بياتا وهم نائمون﴾ [الأعرَاف: 97]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kwani wanadhani hawa watu wa mijini kuwa wao wameokoka na wamesalimika na adhabu ya Mwenyezi Mungu kuwa haitawafika kipindi cha usiku wakiwa wamelala
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek