×

Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu 73:14 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Muzzammil ⮕ (73:14) ayat 14 in Swahili

73:14 Surah Al-Muzzammil ayat 14 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Muzzammil ayat 14 - المُزمل - Page - Juz 29

﴿يَوۡمَ تَرۡجُفُ ٱلۡأَرۡضُ وَٱلۡجِبَالُ وَكَانَتِ ٱلۡجِبَالُ كَثِيبٗا مَّهِيلًا ﴾
[المُزمل: 14]

Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu la mchanga

❮ Previous Next ❯

ترجمة: يوم ترجف الأرض والجبال وكانت الجبال كثيبا مهيلا, باللغة السواحيلية

﴿يوم ترجف الأرض والجبال وكانت الجبال كثيبا مهيلا﴾ [المُزمل: 14]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Siku itakapotikisika na kusukikasukika ardhi na majabali mpaka majabali yawe mlima wa mchanga wenye kutiririka na kupeperuka, baada ya kuwa kwenye hali ya ugumu na ukavu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek