×

Ndio hivyo! Basi ionjeni! Na bila ya shaka makafiri wana adhabu ya 8:14 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anfal ⮕ (8:14) ayat 14 in Swahili

8:14 Surah Al-Anfal ayat 14 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anfal ayat 14 - الأنفَال - Page - Juz 9

﴿ذَٰلِكُمۡ فَذُوقُوهُ وَأَنَّ لِلۡكَٰفِرِينَ عَذَابَ ٱلنَّارِ ﴾
[الأنفَال: 14]

Ndio hivyo! Basi ionjeni! Na bila ya shaka makafiri wana adhabu ya Moto

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ذلكم فذوقوه وأن للكافرين عذاب النار, باللغة السواحيلية

﴿ذلكم فذوقوه وأن للكافرين عذاب النار﴾ [الأنفَال: 14]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Adhabu hiyo niliyoiharakisha kwenu, enyi makafiri mnaoenda kinyume na amri za Mwenyezi Mungu ulimwenguni, ionjeni katika maisha ya kilimwengu, na huko Akhera mtakuwa na adhabu ya Moto
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek