×

Alhamdulillahi! Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu aliye nipa juu ya uzee 14:39 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ibrahim ⮕ (14:39) ayat 39 in Swahili

14:39 Surah Ibrahim ayat 39 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ibrahim ayat 39 - إبراهِيم - Page - Juz 13

﴿ٱلۡحَمۡدُ لِلَّهِ ٱلَّذِي وَهَبَ لِي عَلَى ٱلۡكِبَرِ إِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَۚ إِنَّ رَبِّي لَسَمِيعُ ٱلدُّعَآءِ ﴾
[إبراهِيم: 39]

Alhamdulillahi! Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu aliye nipa juu ya uzee wangu Ismail na Is-haq. Hakika Mola wangu Mlezi ni Mwenye kusikia maombi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: الحمد لله الذي وهب لي على الكبر إسماعيل وإسحاق إن ربي لسميع, باللغة السواحيلية

﴿الحمد لله الذي وهب لي على الكبر إسماعيل وإسحاق إن ربي لسميع﴾ [إبراهِيم: 39]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Ibrāhīm anamsifu Mola wake na anasema, «Shukrani zote ni za Mwenyezi Mungu Aliyeniruzuku, pamoja na uzee wangu, wanangu wawili, Ismā'īl na Isḥāq, baada ya maombi yangu Anitunuku miongoni mwa wema, kwani Mola wangu ni mwenye kusikia maombi ya mwenye kumuomba; na mimemuomba na Hakuyapitisha patupu matarajio yangu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek