×

Na siku tutakapo wainua kutokana na kila umma shahidi, kisha hawataruhusiwa walio 16:84 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nahl ⮕ (16:84) ayat 84 in Swahili

16:84 Surah An-Nahl ayat 84 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nahl ayat 84 - النَّحل - Page - Juz 14

﴿وَيَوۡمَ نَبۡعَثُ مِن كُلِّ أُمَّةٖ شَهِيدٗا ثُمَّ لَا يُؤۡذَنُ لِلَّذِينَ كَفَرُواْ وَلَا هُمۡ يُسۡتَعۡتَبُونَ ﴾
[النَّحل: 84]

Na siku tutakapo wainua kutokana na kila umma shahidi, kisha hawataruhusiwa walio kufuru wala hawataachiliwa kutaka radhi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ويوم نبعث من كل أمة شهيدا ثم لا يؤذن للذين كفروا ولا, باللغة السواحيلية

﴿ويوم نبعث من كل أمة شهيدا ثم لا يؤذن للذين كفروا ولا﴾ [النَّحل: 84]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wakumbushe, ewe Mtume, yale yatakayokuwa Siku ya Kiyama, tutakapowaletea kila kundi la watu Mtume wao akitolea ushahidi Imani ya walioamini miongoni mwao na ukanushaji wa wenye kukanusha. Kisha hao waliokanusha hawatapewa nafasi ya kuomba msamaha kwa waliyoyafanya, na hawatatakiwa kumridhisha Mola wao kwa kutubia na kufanya matendo mema, kwani wakati wa hilo ushapita
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek