×

Wote hao tunawakunjulia - hawa na hao - katika neema za Mola 17:20 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Isra’ ⮕ (17:20) ayat 20 in Swahili

17:20 Surah Al-Isra’ ayat 20 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Isra’ ayat 20 - الإسرَاء - Page - Juz 15

﴿كُلّٗا نُّمِدُّ هَٰٓؤُلَآءِ وَهَٰٓؤُلَآءِ مِنۡ عَطَآءِ رَبِّكَۚ وَمَا كَانَ عَطَآءُ رَبِّكَ مَحۡظُورًا ﴾
[الإسرَاء: 20]

Wote hao tunawakunjulia - hawa na hao - katika neema za Mola wako Mlezi. Wala neema za Mola wako Mlezi hazizuiliki

❮ Previous Next ❯

ترجمة: كلا نمد هؤلاء وهؤلاء من عطاء ربك وما كان عطاء ربك محظورا, باللغة السواحيلية

﴿كلا نمد هؤلاء وهؤلاء من عطاء ربك وما كان عطاء ربك محظورا﴾ [الإسرَاء: 20]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kila kundi, miongoni mwa wenye kuufanyia kazi ulimwengu wenye kumalizika na wenye kuifanyia kazi Akhera yenye kusalia, tunalipatia riziki yetu: tunawaruzuku Wauminiu na makafiri ulimwenguni. Kwani riziki inatokana na vipawa vya Mola wako kwa wema Wake; na vipawa vya Mola wako hanyimwi mtu yoyote, awe ni Muumini au ni kafiri
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek