×

Sisi tunakusimulia khabari zao kwa kweli. Hakika wao walikuwa ni vijana walio 18:13 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Kahf ⮕ (18:13) ayat 13 in Swahili

18:13 Surah Al-Kahf ayat 13 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Kahf ayat 13 - الكَهف - Page - Juz 15

﴿نَّحۡنُ نَقُصُّ عَلَيۡكَ نَبَأَهُم بِٱلۡحَقِّۚ إِنَّهُمۡ فِتۡيَةٌ ءَامَنُواْ بِرَبِّهِمۡ وَزِدۡنَٰهُمۡ هُدٗى ﴾
[الكَهف: 13]

Sisi tunakusimulia khabari zao kwa kweli. Hakika wao walikuwa ni vijana walio muamini Mola wao Mlezi. Na Sisi tukawazidisha uwongofu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: نحن نقص عليك نبأهم بالحق إنهم فتية آمنوا بربهم وزدناهم هدى, باللغة السواحيلية

﴿نحن نقص عليك نبأهم بالحق إنهم فتية آمنوا بربهم وزدناهم هدى﴾ [الكَهف: 13]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Sisi tunakuhadithia, ewe Mtume, habari yao kwa ukweli. Watu wa pango ni vijana waliomuamini Mola wao na wakafuata amri Zake, na tukawazidishia uongofu na uimara katika haki
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek