×

Na soma uliyo funuliwa katika Kitabu cha Mola wako Mlezi. Hapana wa 18:27 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Kahf ⮕ (18:27) ayat 27 in Swahili

18:27 Surah Al-Kahf ayat 27 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Kahf ayat 27 - الكَهف - Page - Juz 15

﴿وَٱتۡلُ مَآ أُوحِيَ إِلَيۡكَ مِن كِتَابِ رَبِّكَۖ لَا مُبَدِّلَ لِكَلِمَٰتِهِۦ وَلَن تَجِدَ مِن دُونِهِۦ مُلۡتَحَدٗا ﴾
[الكَهف: 27]

Na soma uliyo funuliwa katika Kitabu cha Mola wako Mlezi. Hapana wa kubadilisha maneno yake. Wala nawe hutapata makimbilio isipo kuwa kwake

❮ Previous Next ❯

ترجمة: واتل ما أوحي إليك من كتاب ربك لا مبدل لكلماته ولن تجد, باللغة السواحيلية

﴿واتل ما أوحي إليك من كتاب ربك لا مبدل لكلماته ولن تجد﴾ [الكَهف: 27]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na usome Qur’ani, ewe Mtume, ambayo Mwenyezi Mungu Amekuletea wahyi nayo, kwani hiyo Qur’ani ni Kitabu ambacho hakuna mwenye kuyageuza maneno yake kwa kuwa ni ya kweli na ya uadilifu, na hutapata isipokuwa kwa Mola wako mahala pa wewe kuhamia wala pa kujilinda
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek