×

Akasema: Nikikuuliza kitu chochote baada ya haya usifuatane nami, kwani umekwisha pata 18:76 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Kahf ⮕ (18:76) ayat 76 in Swahili

18:76 Surah Al-Kahf ayat 76 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Kahf ayat 76 - الكَهف - Page - Juz 16

﴿قَالَ إِن سَأَلۡتُكَ عَن شَيۡءِۭ بَعۡدَهَا فَلَا تُصَٰحِبۡنِيۖ قَدۡ بَلَغۡتَ مِن لَّدُنِّي عُذۡرٗا ﴾
[الكَهف: 76]

Akasema: Nikikuuliza kitu chochote baada ya haya usifuatane nami, kwani umekwisha pata udhuru kwangu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قال إن سألتك عن شيء بعدها فلا تصاحبني قد بلغت من لدني, باللغة السواحيلية

﴿قال إن سألتك عن شيء بعدها فلا تصاحبني قد بلغت من لدني﴾ [الكَهف: 76]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mūsā akamwambia, «Nikikuuliza kitu baada ya mara hii, niache na usifuatane na mimi, utakuwa ushapata sababu kuhusu mimi na hutakuwa umefanya kasoro, kwa kuwa ulinambia kwamba mimi sitaweza kuvumilia pamoja na wewe.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek