×

Na kaumu ngapi tumezihiliki kabla yao. Je! Unawaona hata mmoja katika wao 19:98 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Maryam ⮕ (19:98) ayat 98 in Swahili

19:98 Surah Maryam ayat 98 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Maryam ayat 98 - مَريَم - Page - Juz 16

﴿وَكَمۡ أَهۡلَكۡنَا قَبۡلَهُم مِّن قَرۡنٍ هَلۡ تُحِسُّ مِنۡهُم مِّنۡ أَحَدٍ أَوۡ تَسۡمَعُ لَهُمۡ رِكۡزَۢا ﴾
[مَريَم: 98]

Na kaumu ngapi tumezihiliki kabla yao. Je! Unawaona hata mmoja katika wao au unasikia hata mchakato wao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وكم أهلكنا قبلهم من قرن هل تحس منهم من أحد أو تسمع, باللغة السواحيلية

﴿وكم أهلكنا قبلهم من قرن هل تحس منهم من أحد أو تسمع﴾ [مَريَم: 98]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na mara nyingi tumewaangamiza ummah waliotangulia kabla ya watu wako, humuoni yoyote miongoni mwao na husikii sauti yao, basi hivyo ndivyo watakavyokuwa makafiri wa watu wako, tutawaangamiza kama tulivyowaangamiza waliotanguli kabla yao. Katika hii pana onyo na agizo la kuwaangamiza wakanushaji wenye ushindani wa ubatilifu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek