×

Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na 2:156 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:156) ayat 156 in Swahili

2:156 Surah Al-Baqarah ayat 156 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 156 - البَقَرَة - Page - Juz 2

﴿ٱلَّذِينَ إِذَآ أَصَٰبَتۡهُم مُّصِيبَةٞ قَالُوٓاْ إِنَّا لِلَّهِ وَإِنَّآ إِلَيۡهِ رَٰجِعُونَ ﴾
[البَقَرَة: 156]

Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea

❮ Previous Next ❯

ترجمة: الذين إذا أصابتهم مصيبة قالوا إنا لله وإنا إليه راجعون, باللغة السواحيلية

﴿الذين إذا أصابتهم مصيبة قالوا إنا لله وإنا إليه راجعون﴾ [البَقَرَة: 156]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Miongoni mwa sifa za hawa wenye kusubiri ni kwamba wao wanapofikwa na kitu wanachokichukia husema, «Sisi ni waja waliomilikiwa na Mwenyezi Mungu, tunaoendeshwa kwa amri Yake na mapitisho Yake. Anafanya kwetu Alitakalo. Na sisi Kwake, Peke Yake, ni wenye kurudi kwa kufa, kisha kwa kufufuliwa ili kuhesabiwa na kulipwa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek