×

Viziwi, mabubu, vipofu; kwa hivyo hawatarejea 2:18 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:18) ayat 18 in Swahili

2:18 Surah Al-Baqarah ayat 18 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 18 - البَقَرَة - Page - Juz 1

﴿صُمُّۢ بُكۡمٌ عُمۡيٞ فَهُمۡ لَا يَرۡجِعُونَ ﴾
[البَقَرَة: 18]

Viziwi, mabubu, vipofu; kwa hivyo hawatarejea

❮ Previous Next ❯

ترجمة: صم بكم عمي فهم لا يرجعون, باللغة السواحيلية

﴿صم بكم عمي فهم لا يرجعون﴾ [البَقَرَة: 18]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Wao ni viziwi, hawaisikii haki kwa kuizingatia, ni mabubu, hawaitamki haki, ni vipofu, hawauoni mwangaza wa uongofu. Kwa hivyo, hawawezi kurudi kwenye Imani ambayo waliiacha na kuchukuwa upotevu badali yake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek