×

Na atakaye ubadilisha wasia baada ya kuusikia, basi dhambi yake ni juu 2:181 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:181) ayat 181 in Swahili

2:181 Surah Al-Baqarah ayat 181 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 181 - البَقَرَة - Page - Juz 2

﴿فَمَنۢ بَدَّلَهُۥ بَعۡدَ مَا سَمِعَهُۥ فَإِنَّمَآ إِثۡمُهُۥ عَلَى ٱلَّذِينَ يُبَدِّلُونَهُۥٓۚ إِنَّ ٱللَّهَ سَمِيعٌ عَلِيمٞ ﴾
[البَقَرَة: 181]

Na atakaye ubadilisha wasia baada ya kuusikia, basi dhambi yake ni juu ya wale watakao ubadilisha; hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kujua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فمن بدله بعد ما سمعه فإنما إثمه على الذين يبدلونه إن الله, باللغة السواحيلية

﴿فمن بدله بعد ما سمعه فإنما إثمه على الذين يبدلونه إن الله﴾ [البَقَرَة: 181]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Yule atakaye kuubadilisha wasia wa maiti baada ya kuusikia kutoka kwake kabla hajafariki, dhambi litakuwa ni la yule aliyebadilisha na kugeuza. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuusikia wasia wenu na maneno yenu, ni Mjuzi zaidi wa yale yanayofichwa na nyoyo zenu kuhusu kuelekea upande wa haki na uadilifu au ujeuri na udhalimu, na Atawalipa kwa hilo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek