×

Bustani za milele zipitazo mito kati yake, wadumu humo. Na hayo ni 20:76 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ta-Ha ⮕ (20:76) ayat 76 in Swahili

20:76 Surah Ta-Ha ayat 76 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ta-Ha ayat 76 - طه - Page - Juz 16

﴿جَنَّٰتُ عَدۡنٖ تَجۡرِي مِن تَحۡتِهَا ٱلۡأَنۡهَٰرُ خَٰلِدِينَ فِيهَاۚ وَذَٰلِكَ جَزَآءُ مَن تَزَكَّىٰ ﴾
[طه: 76]

Bustani za milele zipitazo mito kati yake, wadumu humo. Na hayo ni malipo ya mwenye kujitakasa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: جنات عدن تجري من تحتها الأنهار خالدين فيها وذلك جزاء من تزكى, باللغة السواحيلية

﴿جنات عدن تجري من تحتها الأنهار خالدين فيها وذلك جزاء من تزكى﴾ [طه: 76]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
katika mabustani ya Pepo ya kukaa daima ambayo mito inapita chini ya miti yake, wakiwa ni wenye kukaa humo milele. Neema hiyo ya daima ni malipo kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa mwenye kujisafisha nafsi yake na uchafu, uovu na ushirikina, na akamuabudu Mwenyezi Mungu, Peke Yake, akamtii na akajiepusha na matendo ya kumuasi na akakutana na Mola wake na huku hamshirikishi yoyote kati ya viumbe Vyake katika kumuabudu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek