×

Firauni akawafuata pamoja na majeshi yake. Basi kiliwafudikiza humo baharini kilicho wafudikiza 20:78 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ta-Ha ⮕ (20:78) ayat 78 in Swahili

20:78 Surah Ta-Ha ayat 78 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ta-Ha ayat 78 - طه - Page - Juz 16

﴿فَأَتۡبَعَهُمۡ فِرۡعَوۡنُ بِجُنُودِهِۦ فَغَشِيَهُم مِّنَ ٱلۡيَمِّ مَا غَشِيَهُمۡ ﴾
[طه: 78]

Firauni akawafuata pamoja na majeshi yake. Basi kiliwafudikiza humo baharini kilicho wafudikiza

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فأتبعهم فرعون بجنوده فغشيهم من اليم ما غشيهم, باللغة السواحيلية

﴿فأتبعهم فرعون بجنوده فغشيهم من اليم ما غشيهم﴾ [طه: 78]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi Mūsā alikwenda usiku pamoja na Wana wa Isrāīl akavuka nao kwenye njia ya bahari, hapo Fir'awn pamoja na askari wake wakawafuata, maji yakawafinika, kwa namna ambayo hakuna anayoijua isipokuwa Mwenyezi Mungu, na wote walizama isipokuwa Mūsā na watu wake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek