×

Yeye hahojiwi kwa ayatendayo, na wao ndio wanao hojiwa kwa wayatendayo 21:23 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:23) ayat 23 in Swahili

21:23 Surah Al-Anbiya’ ayat 23 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 23 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿لَا يُسۡـَٔلُ عَمَّا يَفۡعَلُ وَهُمۡ يُسۡـَٔلُونَ ﴾
[الأنبيَاء: 23]

Yeye hahojiwi kwa ayatendayo, na wao ndio wanao hojiwa kwa wayatendayo

❮ Previous Next ❯

ترجمة: لا يسأل عما يفعل وهم يسألون, باللغة السواحيلية

﴿لا يسأل عما يفعل وهم يسألون﴾ [الأنبيَاء: 23]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Miongoni mwa dalili za kupwekeka Kwake, kutakasika na sifa za upungufu ni Kwake, kwa kuumba na kustahiki kuabudiwa ni kwamba Yeye Haulizwi kuhusu uamuzi Wake kwa viumbe Wake na kwamba viumbe Wake wote ndio wenye kuulizwa kuhusu matendo yao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek