×

Na Zakariya alipo mwita Mola wake Mlezi: Mola wangu Mlezi! Usiniache peke 21:89 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:89) ayat 89 in Swahili

21:89 Surah Al-Anbiya’ ayat 89 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 89 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿وَزَكَرِيَّآ إِذۡ نَادَىٰ رَبَّهُۥ رَبِّ لَا تَذَرۡنِي فَرۡدٗا وَأَنتَ خَيۡرُ ٱلۡوَٰرِثِينَ ﴾
[الأنبيَاء: 89]

Na Zakariya alipo mwita Mola wake Mlezi: Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe ndiye Mbora wa wanao rithi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وزكريا إذ نادى ربه رب لا تذرني فردا وأنت خير الوارثين, باللغة السواحيلية

﴿وزكريا إذ نادى ربه رب لا تذرني فردا وأنت خير الوارثين﴾ [الأنبيَاء: 89]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kumbuka, ewe Mtume, kisa cha mja wa Mwenyezi Mungu Zakariyya alipomuomba Mola wake Amtunukie wana, wakati umri wake ulipokuwa mkubwa, kwa kusema, «Mola wangu! Usiniache pweke ni siwe na mwana! Basi nitunuku mrithi wa kusimamia mambo ya Dini kwa watu baada yangu mimi, na wewe Ndiye bora wa wenye kusalia na bora wa wenye kusimamia mambo yangu baada yangu kwa uzuri!»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek