Quran with Swahili translation - Surah Al-Mu’minun ayat 55 - المؤمنُون - Page - Juz 18
﴿أَيَحۡسَبُونَ أَنَّمَا نُمِدُّهُم بِهِۦ مِن مَّالٖ وَبَنِينَ ﴾
[المؤمنُون: 55]
﴿أيحسبون أنما نمدهم به من مال وبنين﴾ [المؤمنُون: 55]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Kwani wanadhani hawa makafiri kwamba yale tunayowapa ya mali na watoto ulimwenguni ni mazuri waliyoharakishiwa na kwamba wao wanastahiki hayo |