×

Na hakika tuliwatia adhabu kali; lakini hawakuelekea kwa Mola wao Mlezi wala 23:76 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Mu’minun ⮕ (23:76) ayat 76 in Swahili

23:76 Surah Al-Mu’minun ayat 76 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Mu’minun ayat 76 - المؤمنُون - Page - Juz 18

﴿وَلَقَدۡ أَخَذۡنَٰهُم بِٱلۡعَذَابِ فَمَا ٱسۡتَكَانُواْ لِرَبِّهِمۡ وَمَا يَتَضَرَّعُونَ ﴾
[المؤمنُون: 76]

Na hakika tuliwatia adhabu kali; lakini hawakuelekea kwa Mola wao Mlezi wala hawakunyenyekea

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولقد أخذناهم بالعذاب فما استكانوا لربهم وما يتضرعون, باللغة السواحيلية

﴿ولقد أخذناهم بالعذاب فما استكانوا لربهم وما يتضرعون﴾ [المؤمنُون: 76]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kwa hakika, tuliwajaribu wao kwa kuwaonja kwa aina mbalimbali za mikasa, pamoja na hivyo wasimnyenyekee Mola wao na wasimuombe kwa unynyekevu wakati wa kushukiwa na hiyo mikasa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek