Quran with Swahili translation - Surah Ash-Shu‘ara’ ayat 74 - الشعراء - Page - Juz 19
﴿قَالُواْ بَلۡ وَجَدۡنَآ ءَابَآءَنَا كَذَٰلِكَ يَفۡعَلُونَ ﴾ 
[الشعراء: 74]
﴿قالوا بل وجدنا آباءنا كذلك يفعلون﴾ [الشعراء: 74]
| Abdullah Muhammad Abu Bakr Wakasema, «Haliwi lolote katika hayo, lakini tuliwakuta mababa zetu wakiwaabudu, na sisi tukawaiga katika yale ambayo walikuwa wakiyafanya.» |