×

Wakasema: Sisi ni wenye nguvu na wakali kwa vita; na amri iko 27:33 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:33) ayat 33 in Swahili

27:33 Surah An-Naml ayat 33 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 33 - النَّمل - Page - Juz 19

﴿قَالُواْ نَحۡنُ أُوْلُواْ قُوَّةٖ وَأُوْلُواْ بَأۡسٖ شَدِيدٖ وَٱلۡأَمۡرُ إِلَيۡكِ فَٱنظُرِي مَاذَا تَأۡمُرِينَ ﴾
[النَّمل: 33]

Wakasema: Sisi ni wenye nguvu na wakali kwa vita; na amri iko kwako, basi tazama ni nini unaamrisha

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قالوا نحن أولو قوة وأولو بأس شديد والأمر إليك فانظري ماذا تأمرين, باللغة السواحيلية

﴿قالوا نحن أولو قوة وأولو بأس شديد والأمر إليك فانظري ماذا تأمرين﴾ [النَّمل: 33]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Wakasema kumjibu ,»Sisi ni wenye nguvu wa idadi na silaha, na ni watu wa utetezi na ushujaa katika vita vikali, na uamuzi ni wako, na wewe ndiye mwenye maoni, basi fikiria unatuamrisha nini. Sisi ni wenye kusikiliza maneno yako na ni watiifu kwako.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek