×

Basi tukamwokoa yeye na ahali zake, isipo kuwa mkewe; tukamkadiria katika walio 27:57 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:57) ayat 57 in Swahili

27:57 Surah An-Naml ayat 57 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 57 - النَّمل - Page - Juz 19

﴿فَأَنجَيۡنَٰهُ وَأَهۡلَهُۥٓ إِلَّا ٱمۡرَأَتَهُۥ قَدَّرۡنَٰهَا مِنَ ٱلۡغَٰبِرِينَ ﴾
[النَّمل: 57]

Basi tukamwokoa yeye na ahali zake, isipo kuwa mkewe; tukamkadiria katika walio baki nyuma

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فأنجيناه وأهله إلا امرأته قدرناها من الغابرين, باللغة السواحيلية

﴿فأنجيناه وأهله إلا امرأته قدرناها من الغابرين﴾ [النَّمل: 57]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Tukamuokoa Lūṭ na watu wake waliomfuata na adhabu ambayo itawashukia watu wa Lūṭ waliomkanusha, isipokuwa mkewe tuliomkadria kuwa ni mwenye kusalia kwenye adhabu mpaka aangamie pamoja na wenye kuangamia, kwa kuwa yeye alikuwa ni msaidizi wa watu wake kwa matendo yao mabaya na alikua akiridhika nayo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek