×

Na Siku tutapo kusanya kutoka kila umma kundi katika wanao kadhibisha Ishara 27:83 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:83) ayat 83 in Swahili

27:83 Surah An-Naml ayat 83 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 83 - النَّمل - Page - Juz 20

﴿وَيَوۡمَ نَحۡشُرُ مِن كُلِّ أُمَّةٖ فَوۡجٗا مِّمَّن يُكَذِّبُ بِـَٔايَٰتِنَا فَهُمۡ يُوزَعُونَ ﴾
[النَّمل: 83]

Na Siku tutapo kusanya kutoka kila umma kundi katika wanao kadhibisha Ishara zetu, nao watagawanywa mafungu mafungu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ويوم نحشر من كل أمة فوجا ممن يكذب بآياتنا فهم يوزعون, باللغة السواحيلية

﴿ويوم نحشر من كل أمة فوجا ممن يكذب بآياتنا فهم يوزعون﴾ [النَّمل: 83]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na siku tutakayokusanya- Siku ya Ufufuzi- katika kila jamii, kundi la watu, miongoni mwa wale wanaozikanusha aya zetu na hoja zetu, watazuiliwa wa mwanzo wao wachanganywe na wa mwisho wao, wapate kukusanyika wote, kisha waongozwe hadi pale pa kuhesabiwa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek