×

Na tuliwafanya ni waongozi waitao kwenye Moto. Na Siku ya Kiyama hawatanusuriwa 28:41 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Qasas ⮕ (28:41) ayat 41 in Swahili

28:41 Surah Al-Qasas ayat 41 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Qasas ayat 41 - القَصَص - Page - Juz 20

﴿وَجَعَلۡنَٰهُمۡ أَئِمَّةٗ يَدۡعُونَ إِلَى ٱلنَّارِۖ وَيَوۡمَ ٱلۡقِيَٰمَةِ لَا يُنصَرُونَ ﴾
[القَصَص: 41]

Na tuliwafanya ni waongozi waitao kwenye Moto. Na Siku ya Kiyama hawatanusuriwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وجعلناهم أئمة يدعون إلى النار ويوم القيامة لا ينصرون, باللغة السواحيلية

﴿وجعلناهم أئمة يدعون إلى النار ويوم القيامة لا ينصرون﴾ [القَصَص: 41]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na tumemfanya Fir’awn na watu wake ni wenye kuongoza kwenye njia ya motoni, wakifuatwa na watu wa ukafiri na uasi. Na Siku ya Kiyama hawataokolewa. Hiyo ni kwa sababu ya ukafiri wao na kuwakanusha kwao Mitume wa Mola wao na kuendelea kwao kufanya hivyo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek