×

Kwa hakika Mwenyezi Mungu anajua kila kitu wanacho kiomba badala yake Yeye. 29:42 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-‘Ankabut ⮕ (29:42) ayat 42 in Swahili

29:42 Surah Al-‘Ankabut ayat 42 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-‘Ankabut ayat 42 - العَنكبُوت - Page - Juz 20

﴿إِنَّ ٱللَّهَ يَعۡلَمُ مَا يَدۡعُونَ مِن دُونِهِۦ مِن شَيۡءٖۚ وَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلۡحَكِيمُ ﴾
[العَنكبُوت: 42]

Kwa hakika Mwenyezi Mungu anajua kila kitu wanacho kiomba badala yake Yeye. Na Yeye ndiye Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye hikima

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن الله يعلم ما يدعون من دونه من شيء وهو العزيز الحكيم, باللغة السواحيلية

﴿إن الله يعلم ما يدعون من دونه من شيء وهو العزيز الحكيم﴾ [العَنكبُوت: 42]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika Mwenyezi Mungu Anavijua vile wanavyomfananisha navyo washirikina na kumshirikisha navyo, na kwamba hivyo , kwa hakika, si kitu chochote, bali ni majina tu waliyoyaita, havinufaishi wala havidhuru. Na Yeye Ndiye Mshindi Mwenye uweza wa kuwatesa waliomkufuru, Ndiye Mwenye hekima katika uendeshaji mambo Wake na utengenezaji Wake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek