×

Ati aliye Muumini atakuwa sawa na aliye mpotovu? Hawawi sawa 32:18 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah As-Sajdah ⮕ (32:18) ayat 18 in Swahili

32:18 Surah As-Sajdah ayat 18 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah As-Sajdah ayat 18 - السَّجدة - Page - Juz 21

﴿أَفَمَن كَانَ مُؤۡمِنٗا كَمَن كَانَ فَاسِقٗاۚ لَّا يَسۡتَوُۥنَ ﴾
[السَّجدة: 18]

Ati aliye Muumini atakuwa sawa na aliye mpotovu? Hawawi sawa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أفمن كان مؤمنا كمن كان فاسقا لا يستوون, باللغة السواحيلية

﴿أفمن كان مؤمنا كمن كان فاسقا لا يستوون﴾ [السَّجدة: 18]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Je, Yule Aliyekuwa mtiifu kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, mwenye kuamini agizo lake la kuwalipa mema wema wenye kufanya mema na kuwalipa ubaya wenye kufanya mabaya, ni kama yule aliyemkanusha Mwenyezi Mungu na Mitume Yake na akaikanusha Siku ya Kiyama? Hawalingani mbele ya Mwenyezi Mungu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek